Thursday, July 21, 2011

THE BRIDGE YOUTH MINISTRIES: Yesu ana vyombo Aisee.

 Karibu kila siku ya Jumanne Saa 5:00 Jioni, katika kanisa la
Tanzania Assemblies of God 
Victory Christian Centre (VCC). 
***Kutana na Vijana machachali ujifunze Mengi yanayohusu Maisha yako yote, yakimwili na Kiroho Pia. Ukihudhulia Siku moja tu. Hautathubutu kuacha kuja. KARIBU UKUTANE NA YESU LIVE.
Kanisa la VCC lipo Mikocheni, Barabara ya Kwenda Mwenge, Kituo cha kujaza Mafuta (Victoria Petrol Station) Karibu. 
Piga simu Kupata Msaada zaidi. 
The Bridge: +255 713 209 056

Thursday, June 16, 2011

Music Lyrics


1.        Holy, holy, holy (Praise Him)

Holy, holy, holy
Holy, holy, holy
Holy is the Lord God Almighty
Worthy to receive glory
Worthy to receive honor
Worthy to receive all our praise today




Praise Him
Praise Him and lift Him up
Praise Him
Exalt His name forever


2.        I will sing for Joy



 If we call to Him, He will answer us
If we run to Him, He will run to us
If we lift our hands, He will lift us up
Come now praise his name, all you saints of God.


Sing for joy to God our strength
Sing for joy to God our strength, our strength

Draw near to Him, he is here with us
Give Him your love, He's in love with us
He will heal our hearts, He will cleanse our hands
If we rend our hearts He will heal our land.

3.        Awesome in this Place


As I come into Your presence
Past the gates of praise
Into Your sanctuary
Til we're standing face to face
I look upon Your countenance
I see the glory of Your Holy face
I can only bow down and say...



You are awesome in this place Mighty God
You are awesome in this place Abba Father
You are worthy of all praise
To You our hands we raise
You are awesome in this place Mighty God

Tuesday, May 10, 2011

SONGS LYLICS

4.        El Shaddai




El Shaddai, El Shaddai,
El-Elyon na Adonia,
Age to age You`re still the same,
By the power of the name.
El Shaddai, El Shaddai,
Erkamka na Adonai,
We will praise and lift You high,
El Shaddai.

Through your love and through the ram,
You saved the son of Abraham;
Through the power of your hand,
Turned the sea into dry land.
To the outcast on her knees,
You were the God who really sees,
And by Your might,
You set Your children free.

Through the years You`ve made it clear,
That the time of Christ was near,
Though the people couldn`t see
What Messiah ought to be.
Though Your Word contained the plan,
They just could not understand
Your most awesome work was done
Through the frailty of Your Son.

8.        Love in any language


Je t'aime te amo
Ya tyibya I yublu
Ani ohevet othka 
I love you

The sounds are all as different
As the lands from which they came
And though our words are all unique
Our hearts are still the same

Chorus:
Love in any language
Straight from the heart
Pulls us all together
Never apart
And once we learn to speak it
All the world will hear
Love in any language
Fluently spoken here

We teach the young our differences
Yet look how we're the same
We learn to laugh, to dream our dreams
We know the sting of pain
From Leningrad to Lexington
The farmer loves his land
And daddies get all misty eyed
When they give their daughters' hands
And maybe now we realize
How much there is to share
We have too much in common
To pretend it isn't there
(Chorus)

Bridge:
Though the rhetoric of governments
May keep us worlds apart
There's no misinterpreting
The language of the heart


12.        Days of Elijah


These are the days of Elijah
  Declaring the Word of the Lord
And these are the days of Your
Servant Moses
Righteousness being restored
And though these are days of
Great trials
Of famine and darkness and sword
Still we are the voice in the desert crying
Prepare ye the way of the Lord
Chorus:
 

Behold He comes
 Behold He comes riding on the clouds
Shining like the sun at the trumpet call
Lift your voice it's the Year of Jubilee
Out of Zion's hill salvation comes


And these are the days of Ezekiel
The dry bones becoming as flesh
And these are the days of
Your servant David
Rebuilding a temple of praise
And these are the days of the harvest
The fields are as white in Your world
And we are the laborers in Your vineyard
Declaring the Word of the the Lord

[Chorus]

15.        Blessed Assurance

Blessed assurance, Jesus is mine!
O what a foretaste of glory divine!
Heir of salvation, purchase of God,
Born of his Spirit, washed in his blood.
 chorus:
 
  This is my story, this is my song,
  Praising my Savior all the day long;
  This is my story, this is my song,
  Praising my Savior all the day long.
 
Perfect submission, perfect delight,
Visions of rapture now burst on my sight;
Angels descending bring from above,
Echoes of mercy, whispers of love.
(chorus)
 
Perfect submission, all is at rest;
I in my Savior am happy and blest,
Watching and waiting, looking above,
Filled with his goodness, lost in his love.
(chorus)

Friday, April 29, 2011


19.    Draw me close


[1]
Draw me close to you,
Never let me go, 
I lay it all down again,
To hear you say that I am your  friend

You are my desire,
No one else will do,
Nothing else can
take your place,

To feel the warmth
of your embrace,
Help me find a way,
bring me back to you
[chorus]
You are all I  want
You are all
I’ve  ever needed,

You are all I  want
Help me know
you are near !

Help me know
you are near !

Tuesday, April 19, 2011

Jesus Loves us

A
He will come back to take us to New Jerusalem

Saturday, April 16, 2011

Unaijua siri iliyoko katika tabasamu?

*smile*
Unajua Siri iliyoko katika kutabasamu?
IN SMILE THERE IS LOVE
NDANI YA UPENDO LIMO TABASAMU 
Vipi wewe na umpendaye?
*  Kumjua mtu anayekupenda huburudika kukuangalia usoni kwako mda mrefu.
*  Ukiangaliwa tu, TABASAMU
1. Tabasamu hutufanya tuvutie
Smile makes us cerebrate

2. Kiafya Tabasamu huongeza mfumo wa kinga
Hufanya kinga kufanyakazi kwa spidi maana mwili umejiachia
3. Tabasamu huambukiza furaha kwa watu wengine.
TABASAMU KATIKA PENDO
4.Tabasamu hudumisha upendo na mapenzi.

5.Tabasamu hupunguza Mishtuko ya mwili-Stress 
Stress hutoweka pale tunapotabasamu na kuufanya mweli ujiachie huru 

6 . Tabasamu hupunguza Shinikizo la damu (Blood Pressure)
7. Tabasamu huachilia Endorphins (kituliza Maumivu cha asili) na Serotonin
SMILE HADI BASI
8. Tabasamu hunyanyua uso na kufanya UONEKANE BADO MDOGO. Maana yake ukinuna sura inakuwa kama m-bibi/m-babu 
KAMUA TABASAMU
SMILE FOR FUTURE
9. Tabasamu hufanya mtu awe na mtazamo chanya (positive mind)

Tuesday, April 5, 2011

ASKOFU MKUU TAG: Bora kufa kuliko kunywa mizizi ya Loliondo

 BORA KUFA KULIKO KUNYWA MIZIZI YA LOLIONDO

Askofu Mkuu TAG: Dr Barnabas Mtokambali
KATIKATI ya mahubiri yake mbele ya maelfu ya waumini na wachungaji, waliokusanyika katika kanisa la Gospel Campeign Centre Majumbasita, Kiongozi Mkuu wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, alionya kuwa kanisa ambalo ni mali ya Kristo limekwisha kunywa damu ya Yesu iliyomwagika msalabani,
hivyo halihitaji kwenda Loliondo kunywa mizizi na wala halitanywesha watu wake. 

           Mtumishi huyo wa Mungu alitoa msimamo huo alipokuwa katika ziara ya kichungaji katika Section (sehemu) ya Ilala, Jimbo la Mashariki, ambapo maelfu ya waumini na viongozi wa kanisa hilo walifurika kumsikiliza.
Alisema kuwa Kanisa la TAG, ni mali ya Mungu, hivyo ni lazima lisikilize maagizo kutoka kwa mwenye mali, ambaye ni BWANA Yesu, na siyo kwa mwingine awaye yote.
“Kwakuwa TAG ni mali ya Mungu, ni lazima lifanye kazi katika viwango vya kimungu zaidi, lilinde utakatifu, na kutoa mafundisho sahihi ya Neno la Mungu, yanayopingana na mafundisho potofu,” alisema Dk. Mtokambali na kuongeza:
          “Wakati umefika sasa wa kufanya mapinduzi makubwa ya kiroho na kumwambia shetani hapana. Mtu muovu aache uovu wake na amrudie BWANA.”
Kisha Dk. Mtokambali alisisitiza: “Yesu ni yeye yule jana na leo na hata milele; miujiza yake haijabadilika kamwe, tangu wakati alipoishi katika umbo la mwili hapa duniani na hata wakati wa Matendo ya Mitume, hakuwahi kunywesha watu dawa... wala kunywa dawa.        Tunachotakiwa kufanya ni kuendelea kumwamini tu, hata kama tunakufa, afadhali kufa na ugonjwa wako ufike mbinguni kuliko kunywa dawa na kuishia hapa duniani.”
        Alisema tangu nyakati za Yesu na hata wakati wa Matendo ya Mitume hakuna aliyetenda miujiza kwa kutoa dawa, hivyo kwakuwa kanisa la TAG limejengwa katika misingi ya kanisa la Matendo ya Mitume litaendelea kumtegemea Mungu, mtenda miujiza likifuata misingi halali ya Neno la Mungu, na siyo vinginevyo.
Huku akishangiliwa na waumini waliofurika katika ibada hiyo, Askofu Dk. Mtokambali, alisema,
TAG, itaendelea kusimamia msimamo wake wa kusimamia Neno la Mungu, na kulinda imani thabiti, bila kuyumbishwa na upepo wowote unaovuma na utakaovuma, haitakunywa dawa wala kugawa dawa kwa waumini wake, kwa kuwa Kiongozi wake Yesu Kristo, hakuwahi kufanya hivyo.
        Kwa wiki kadhaa maelfu ya watu wamekuwa wakimiminika huko Loliondo kunyweshwa dawa na mchungaji mstaafu wa KKKT, Ambilikile Mwaisapile, inayodaiwa kuwa inaponya magonjwa sugu makuu matano.
Baadhi ya viongozi wa ngazi za juu serikalini wamekuwa wakimiminika katika eneo hilo kunyweshwa dawa hiyo, huku baadhi ya wagonjwa waliopelekwa huko wakipoteza maisha kutokana na mazingira magumu ya miundombinu, kukosekana kwa vyakula na maji safi.
Wakati tunakwenda mitamboni kulikuwa na taarifa za kuibuka kwa magonjwa ya kuambukiza, katika eneo hilo duni na baadhi ya viongozi wa dini wakijikuta katika utata wa kitheolojia.
Baadhi ya Wachungaji wamekuwa wakiwaruhusu waumini wao kunywa dawa, huku wengine wakiweka wazi misimamo yao kuwa dawa hiyo haikithi vigezo vya kiimani wala kuungwa mkono na Neno la Mungu aliye hai.
      Baadhi ya Wakristo, wamekuwa wakipiga simu kwenye Gazeti la Jibu la Maisha, kutafuata ushauri wa kiroho ikiwa ni halali kwa mtu aliyeokoka kuyweshwa dawa ya Babu wa Loliondo au laa. Huku wengine wakionesha wazi kuwa wamebaki dailema kutokana na ukimya wa viongozi wao wa kiroho.
     Akielezea sababu kuu ya kufanya ziara hiyo, Askofu Mkuu Dk Mtokambali, alisema kuwa hiyo ni moja ya utekelezaji wa kuunda kasi mpya ya Mpango Mkakati wa Miaka Kumi ya Mavuno, wenye lengo la kuivuna Tanzania, na kuikabidhi kwa BWANA Yesu, ambao umri wake ni miaka miwili sasa tangu kuzaliwa kwake, Octoba 2008.
Askofu Dk. Mtokambali, alitaja sababu kuu tatu ya ziara hiyo kuwa ni, kufanya ziara ya kichungaji, kuja kuwapongeza kwa kazi nzuri pamoja na kuwahimiza kuongeza bidii zaidi katika kuleta maendeleo ya kanisa na katika kuivuna Tanzania.
“Mchungaji mzuri ni yule anayewatembelea kondoo, na kujua hali zao; ujio wangu mimi ni wa kichungaji zaidi, nimekuja kuongea nanyi, kula na kufanya ibada ya pamoja ili sote kwa pamoja tujenge na kuboresha upya mpango mkakati wetu tuliouweka katika ubora zaidi na wenye kasi kubwa ndani ya mika hii minane iliyosalia,” alisema Askofu, na kuongeza:
“Nguzo kuu ya uchungaji ni kuwatembelea washirika, katika ziara zangu nchini, nimewaagiza Maaskofu wa Majimbo, Waangalizi na Wachungaji, kutokaa ofisini na badala yake watembelee watu na kujua shida zao,” alisema.
      Aidha alisema kuwa, endapo kanisa litazingatia na kutumia vyema rasilimali watu, fedha na vifaa mbalimbali walizo nazo wanaweza kutekeleza mpango huu mkakati ndani ya miaka sita tu na sio vinginevyo.
Dk. Mtokambali alifurahishwa sana na kutiwa moyo na kazi kubwa iliyofanywa na makanisa ya Sehemu ya Ilala, ambapo alisema takwimu zao za sasa zinaonesha kuwa, ndani ya miaka hiyo miwili idadi ya waumini wapya walioongezeka ni 1026, kati ya hao watu wazima 276, na watoto 750 na kufanya jumla kufikia waumini 8450, kutoka 7424, waliokuwepo awali.
Wakati huo huo, Sara Mushokolwa, anaripoti kuwa Mchungaji Godwin Mujaki, wa Kanisa la Ubungo Msewe, akihubiri katika Ibada ya Jumapili aliwaasa Wakristo kuachana na maji ya Loliondo, maana hayana tofauti na uganga wa kienyeji, yanaashiria tu kuwa hizi ni nyakati za mwisho ambazo ni za hatari na wateule wanapaswa kuwa makini sana.
Alisema kuwa huo ni kama upepo unaovuma kwa kasi hivyo ni vyema kuwa makini nao maana siku zote Biblia inasema miujiza huambatana na kumtukuza Mungu, na si kunyweshwa mizizi.
Hakuna kitu katika yale maji ya Loliondo, huo ni uchawi kama ulivyo uchawi mwingine, kwa kuwa maandiko matakatifu yanaeleza wazi kuwa maji ya uzima ni Yesu,” alisema Mchungaji Mujaki.
Naye Chanyika Zephania, anaripoti kuwa, Mchungaji Paulo Mulokozi wa Kanisa la Ubungo Christian Centre, ameitahadharisha jamii ya Watanzania wanaoridhia tiba ya Babu, Mch. Ambilikile Mwasapile, kuwa Mungu hayupo katika jambo hilo, tena hizo ni hila za shetani.
“Mungu hayupo katika jambo hilo, huo ni uharibifu na hatari kwa jamii yetu ya Kitanzania, hivyo ni marufuku kwa wanaonisikiliza, na iwapo unao ndugu wanaokwenda huko muwashauri wasiende,” alisema.
      Mch. Mulokozi alieleza kuwa kuna Sheikh maarufu, ambaye amewashauri waumini wake kwenda katika tiba hiyo, jambo linaloashiria kupingana na ukweli kiimani na haiwezekani uponyaji wa kimaombezi ya kweli kupata ushabiki kwa masheikh ambao kwa kawaida hupingana na maombezi yanayotumia Jina la Yesu.
      Mjadala mkubwa unaendelea miongoni mwa watanzania juu ya tiba inayoendelea huko kijiji cha Samunge Loliondo inayoendeshwa na Mchungaji Ambilikile Mwasapile (Babu), huku Serikali ikiwa na kigugumizi kuhusu utafiti wa kitaalamu kuhusu dawa hiyo.

Tuesday, February 15, 2011

Heart of Worship: Listen and Read


  Heart of worship!

[1]
When the music fades,
all is triped away
And I simply come,

longing just to bring something
that of worth that will bless your heart
                       
I bring you more than a song
for the song in itself is not all that you have required

You search much deeper within
Through the way things appear
You are looking into my heart,
[chorus]
Am coming back to the heart of worship
It's all about you, Its all about you, Jesus

Am sorry Lord for the things I made,
It's all about you, its all about you Jesus.
[2]
King of endless worth
no one could express
How much you deserve,
though am weak and poor,
All I have is yours, every single breath.

It's all about you x2
It's all about you Jesus

Monday, February 14, 2011

Nini maana ya Siku ya Valentino

Asili: Jina la Mtakatifu wa Kiroma aliye itwa Valentino
Siku ya Mtakatifu Valentino- Siku ya wapendanao wanaiita “Valentine Day”, ni maadhimisho ya mwaka, kila tarehe 14 Februari, Watu husherehekea upendo na kuthaminiana na kujaliana kati ya watu wenye uhusiano binafsi, mara nyingi hutumika kwa mahusiano ya kimapenzi.

Siku hii asili yake ni baada ya wakristo wa zamani kuteswa hadi kufa kwaajili ya kuupenda Ukristo.  Historia inasema Mtakatifu Valentino alitumika kama kiongozi wa dini kanisani katika utawala wa mfalme Claudia, Mfalme Claudia alimkamata na kumfunga. Mtakatifu Valentino aliteswa kwaajili ya Imani yake ya Kikristo na Kufa tarehe 14 mwezi Februari, 269 AD. Kwaajili ya msimamo, imani yake na kufa kwa kutetea Ukristo Papa Gelasius aliitangaza tarehe 14 mwezi wa pili kuwa siku ya Mtakatifu Valentino mwaka 496 AD.
Watu wanasherehekeaje siku hii?
Tuichukulie siku hii kidini zaidi. Mungu aliupenda ulimwengu na kumtoa mwanawe kama kafara ya Dhambi zetu. Ni vizuri tukitumia mda tulio nao kujitakasa na kutubu dhambi zetu. Je sisi ni nini mbele za Mungu zaidi ya wale waliokuwa wanachinjwa na kuuawa kikatili kwaajili ya kulinda imani yao? HADI PUMZI YA MWISHO WALIMTAMKA KRISTO. Tuwaenzi kwa kutenda wema tu.
Namaanisha tupendane kwa upendo wa Kimungu, Upendo wa Kweli, Upendo wa Kiuaminifu. Siku hizi Upendo wa kweli ni Mgumu kwawatu wengi kwasababu mbalimbali, ikiwemo dhambi na anasa za kidunia. Swala la Uaminifu, Duh! Linapelekesha watu sana.
JAMANI TUSHEREHEKEE VALENTINE ILA TUSIIGEUZE NCHI YETU KUWA KAMA SODOMA NA GOMORA.
Biblia inasema kila tunapotenda dhambi moja Tunampandisha Yesu msalabani tena. MUNGU ATUSAMEHE
SEMA AMEN

Thursday, January 27, 2011

How to Live better and Comfort Life!!

Life is BEAUTIFUL, Life is not the Hell as some people think.
*ENJOY each moment of it with your family and near & dear ones.
*Keep SMILING and Lough more.
*Try to make at least three people smile each day
*Each day Give something good to People

Read it more.....
 

This is amazing, he died of pancreatic cancer in 2008, but wrote a book ‘The last lecture” before then, one of the bestsellers in 2007. What a legacy to leave behind…

In a letter to his wife  and his children,  he wrote this beautiful "Guide to a better life" for them to follow.

These points are so Practical and
Effective in our Daily Life
cid:1.1002448948@web137310.mail.in.yahoo.com

POINTS ON HOW TO IMPROVE YOUR LIFE



Personality:
1. Don't compare your life to others'. You have no idea what their journey is all about.
2. Don't have negative thoughts of things you cannot control. Instead invest your energy in the positive present moment
3. Don't overdo; keep your limits
4. Don't take yourself so seriously; no one else does
5. Don't waste your precious energy on gossip
6. Dream more while you are awake
7. Envy is a waste of time. You already have all you need..
8. Forget issues of the past. Don't remind your partner of his/her mistakes of the past. 
    That will ruin your present happiness.
9. Life is too short to waste time hating anyone. Don't hate others.
10. Make peace with your past so it won't spoil the present
11. No one is in charge of your happiness except you
12. Realize that life is a school and you are here to learn.
      Problems are simply part of the curriculum that appear and fade away like algebra class but the lessons you learn will last a lifetime.
13. Smile and laugh more
14. You don't have to win every argument. Agree to disagree.

Community:
15. Call your family often
16. Each day give something good to others
17. Forgive everyone for everything
18. Spend time with people over the age of 70 & under the age of 6
19. Try to make at least three people smile each day
20. What other people think of you is none of your business
21. Your job will not take care of you when you are sick. Your family and friends will. Stay in touch.

Life:
22. Put GOD first in anything and everything that you think, say and do.
23. GOD heals everything
24. Do the right things
25. However good or bad a situation is, it will change
26. No matter how you feel, get up, dress up and show up
27. The best is yet to come
28. Get rid of anything that isn't useful, beautiful or joyful
29. When you awake alive in the morning, thank GOD for it
30. If you know GOD you will always be happy. So, be happy.
Not only will it enrich YOUR life, but also that of those AROUND YOU.

Monday, January 17, 2011